<?xml version='1.0' encoding='UTF-8'?><?xml-stylesheet href="http://www.blogger.com/styles/atom.css" type="text/css"?><feed xmlns='http://www.w3.org/2005/Atom' xmlns:openSearch='http://a9.com/-/spec/opensearchrss/1.0/' xmlns:georss='http://www.georss.org/georss' xmlns:gd='http://schemas.google.com/g/2005' xmlns:thr='http://purl.org/syndication/thread/1.0'><id>tag:blogger.com,1999:blog-25253147</id><updated>2012-01-22T17:25:38.511-08:00</updated><title type='text'>Mkenya Mdadisi</title><subtitle type='html'>Blogu kuhusu siasa za Kenya, uchumi, dini, fasihi, vyombo vya habari, tamaduni, jamii na kiwacho chote kitakachonipendeza.  Wakati mwingine sibashiriki, walakin natumai utachangamka kadri ninavyolekea ninakoamini ni sawa.  
- Jesse Masai, Mmiliki &amp; Mhariri Mkuu.
---------------------------------------
WAWEZA KUNIFIKIA KWA KUTUMIA ANWANI HII:  Kenyananalyst@yahoo.co.uk
(c) Jesse Masai, 2006</subtitle><link rel='http://schemas.google.com/g/2005#feed' type='application/atom+xml' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/feeds/posts/default'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default?max-results=100'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/'/><link rel='hub' href='http://pubsubhubbub.appspot.com/'/><author><name>Mkenya Mdadisi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17004304680613672909</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><generator version='7.00' uri='http://www.blogger.com'>Blogger</generator><openSearch:totalResults>20</openSearch:totalResults><openSearch:startIndex>1</openSearch:startIndex><openSearch:itemsPerPage>100</openSearch:itemsPerPage><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-25253147.post-114780119143879472</id><published>2006-05-16T10:39:00.000-07:00</published><updated>2006-05-16T10:39:52.040-07:00</updated><title type='text'>"Tumekushiba," Wabunge wamwambia Obasanjo</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://photos1.blogger.com/blogger/2592/2635/1600/Obasanjo.jpg"&gt;&lt;img style="margin: 0px auto 10px; display: block; text-align: center; cursor: pointer;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/2592/2635/400/Obasanjo.jpg" alt="" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Wanaijeria &lt;a href="http://news.bbc.co.uk/2/hi/africa/4986904.stm"&gt;wamlipa sawa na tamaa yake.... &lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/25253147-114780119143879472?l=mkenyamdadisi.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/feeds/114780119143879472/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=25253147&amp;postID=114780119143879472' title='81 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114780119143879472'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114780119143879472'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/2006/05/tumekushiba-wabunge-wamwambia-obasanjo.html' title='&quot;Tumekushiba,&quot; Wabunge wamwambia Obasanjo'/><author><name>Mkenya Mdadisi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17004304680613672909</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>81</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-25253147.post-114767486657534920</id><published>2006-05-14T23:24:00.000-07:00</published><updated>2006-05-14T23:34:28.110-07:00</updated><title type='text'>Ni nani atakayemsaidia "Bi. Savimbi?"</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://photos1.blogger.com/blogger/2592/2635/1600/Savimbi.jpg"&gt;&lt;img style="margin: 0pt 10px 10px 0pt; float: left; cursor: pointer;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/2592/2635/320/Savimbi.jpg" alt="" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Kwa kawaida siblogu kuhusu siasa za Kenya au kimataifa, ila yaelekea kuna mtu ambaye kidogo angali anatambua kuwa ninapendelea maswala ya siasa na historia...na kwamba ningali nina kumbukumbu ya Waafrika wanaokumbukwa katika historia.  Marehemu &lt;a href="http://news.bbc.co.uk/2/hi/africa/264094.stm"&gt;Jonas Savimbi&lt;/a&gt; ana nafasi yake kati ya watu ninaowakumbuka, kutokana na kwamba &lt;a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Jonas_Savimbi"&gt;nilifuatia kwa karibu maisha yake ya kibinafsi, kisiasa na kijeshi&lt;/a&gt;.  Hivi hapana kioja au kiroja kinachoweza kushinda barua hii ya uongo niliyoipokea asubuhi ya leo kutoka kwa mtu - ninayemdhania kuwa Mnaijeria - anayedai kuwa mkewe.  Mwenzako naomba umsaidie :-)&lt;br /&gt;&lt;pre&gt;&lt;tt&gt;&lt;tt&gt;Subject:  Mrs. Nancy Savimbi (Angola Unita)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;My Dear Friend&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I am Mrs.Savimbi, the wife to the late Jonas Savimbi,   the late leader&lt;br /&gt;of the national Union for The Total Independence of Angola (UNITA). My&lt;br /&gt;husband was killed during combat action against government forces in&lt;br /&gt;Mexico, Angola on the 22nd of Feb. 2002.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I am contacting you because of my need to deal with person whom my&lt;br /&gt;family had no previous relationship.Since the death of my husband, my&lt;br /&gt;family has been subjected to all sorts of harassment and intimidation with&lt;br /&gt;lots of negative report emanating from the government of President&lt;br /&gt;Santos about my husband.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The present government has also ensured that all our bank accounts are&lt;br /&gt;frozen, and all assets sized.It is in view of this that I seek your&lt;br /&gt;assistance in investing and managing the sum of Seventy five Million&lt;br /&gt;United State Dollars in your country, being the very last of my family funds&lt;br /&gt;in my possession and control unknown to the government.This money now&lt;br /&gt;in question came as a result of Diamond Royalties that was paid to my&lt;br /&gt;late husband from the Diamond mining within the areas in Angola being&lt;br /&gt;controlled by (UNITA) for more than a decade.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The money was packed in a sealed trunk box and was depositd&lt;br /&gt;Security/Finance Company in Spain.Right now, the present government has&lt;br /&gt;intensified their probe on my family's financial resources; frozen all our known&lt;br /&gt;foreign &amp; local accounts, revoked Diamond licenses, and even detained&lt;br /&gt;my son (Charles) on alleged flimsy charges just because my husband&lt;br /&gt;before his death was the head of UNITA.Bearing in mind that your assistance&lt;br /&gt;is needed to transfer this money, I propose a commission of 10% (Ten&lt;br /&gt;Percent) of the total sum to you or your company for the expected&lt;br /&gt;services and assistance.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Please reply me through this email address below for security reasons:&lt;br /&gt;&lt;a href="http://uk.f259.mail.yahoo.com/ym/Compose?To=nancysavimbi@myway.com&amp;amp;amp;amp;YY=55570&amp;order=down&amp;amp;sort=date&amp;pos=0&amp;amp;view=a&amp;head=b"&gt;nancysavimbi@myway.com&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I await your prompt response to commence the transaction process.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mrs.Nancy Savimbi&lt;br /&gt;&lt;a href="http://uk.f259.mail.yahoo.com/ym/Compose?To=nancysavimbi@myway.com&amp;amp;amp;amp;YY=55570&amp;order=down&amp;amp;sort=date&amp;pos=0&amp;amp;amp;amp;view=a&amp;head=b"&gt;nancysavimbi@myway.com&lt;/a&gt;&lt;/tt&gt;&lt;/tt&gt;&lt;/pre&gt;&lt;span style="font-size:85%;"&gt;&lt;span style="font-style: italic;"&gt;Picha ni kwa hisani ya BBC Online&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/25253147-114767486657534920?l=mkenyamdadisi.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/feeds/114767486657534920/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=25253147&amp;postID=114767486657534920' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114767486657534920'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114767486657534920'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/2006/05/ni-nani-atakayemsaidia-bi-savimbi.html' title='Ni nani atakayemsaidia &quot;Bi. Savimbi?&quot;'/><author><name>Mkenya Mdadisi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17004304680613672909</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-25253147.post-114753380702595759</id><published>2006-05-13T08:21:00.000-07:00</published><updated>2006-05-13T08:23:27.326-07:00</updated><title type='text'>Maelezo zaidi kufuatia shambulio dhidi ya kitua cha redio jijini Nairobi</title><content type='html'>Bonyeza &lt;a href="http://kenyananalyst.blogspot.com/2006/05/full-text-of-press-releases-following.html"&gt;hapa.&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/25253147-114753380702595759?l=mkenyamdadisi.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/feeds/114753380702595759/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=25253147&amp;postID=114753380702595759' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114753380702595759'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114753380702595759'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/2006/05/maelezo-zaidi-kufuatia-shambulio-dhidi.html' title='Maelezo zaidi kufuatia shambulio dhidi ya kitua cha redio jijini Nairobi'/><author><name>Mkenya Mdadisi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17004304680613672909</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-25253147.post-114744620214463636</id><published>2006-05-12T07:23:00.000-07:00</published><updated>2006-05-12T08:03:23.793-07:00</updated><title type='text'>Homa ya kuku na kufilisika kwa bunge la Afrika</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://photos1.blogger.com/blogger/2592/2635/1600/sweet-u%20246.jpg"&gt;&lt;img style="margin: 0pt 10px 10px 0pt; float: left; cursor: pointer;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/2592/2635/400/sweet-u%20246.jpg" alt="" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Muda mfupi uliyopita &lt;a href="http://msangimdogo.blogspot.com/"&gt;ndugu Msangi &lt;/a&gt;amenijuza &lt;a href="https://www.andnetwork.com/index?service=direct/1/Home/recent.titleStory&amp;sp=l34274"&gt;habari za homa ya kuku kufika Djibouti&lt;/a&gt; na &lt;a href="https://www.andnetwork.com/index?service=direct/1/Home/recent.titleStory&amp;amp;sp=l34271"&gt;bunge la Umoja wa  Afrika kufilisika&lt;/a&gt;.&lt;br /&gt;Kwa vile sikuwa nimetilia maanani habari nyingi leo, niligutuka kidogo...na hapa basi ndiyo mawazo yangu ya muda kuyahusu mambo hayo.&lt;br /&gt;- &lt;a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Bird_flu"&gt;Homa ya kuku&lt;/a&gt;:  Ni dhana yangu kuwa huenda nchi nyingi za Afrika zina tatizo hilo, ila huenda zimenyamaza kwa hofu ya kuwapoteza watalii ambao ni vitega uchumi muhimu.  Mwenendo wa nchi nyingi barani umekuwa ni kumficha mgonjwa kisha baadaye kushindwa kuficha vilio anapoiaga dunia. Ni uzalendo wa kipumbavu, iwapo utauliza maoni yangu.&lt;br /&gt;- &lt;a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Pan-African_Parliament"&gt;Bunge la Afrika&lt;/a&gt; - Itakuwa aibu iliyoje iwapo wataenda kuombaomba ugenini katika enzi hizi za "kujitawala" na "kujitegemea!"  Kuna wakati mwenzetu &lt;a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Muammar_al-Qaddafi"&gt;Gadaffi&lt;/a&gt; alijitolea kulipa madeni ya baadhi ya nchi za Afrika kwa uliyokuwa &lt;a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Organization_of_African_Unity"&gt;Umoja wa nchi huru za Kiafrika (OAU)&lt;/a&gt;...wakati alipokuwa akikampeini kuwa mwenyekiti wa umoja huo....pengine &lt;a href="http://en.wikipedia.org/wiki/African_Union"&gt;Umoja uliopo sasa&lt;/a&gt; wahitaji tena huo ukarimu wake. Ila pia Gadaffi kwangu ni sarafu isiyoaminika...mara yuko huku kwetu, mara yuko kwenye baraza la nchi huru za Kiarabu, mara...hata simwelewi siku zingine.  Anawafahamu Waarabu, amekuwa nao tangu 1969 hivi (alipoingia madarakani).  Nafikiri pengine ni mkengeuko wa kisiasa katika Afrika ambao ndiyo kidogo unamtatiza.&lt;br /&gt;Asante &lt;a href="http://msangimdogo.blogspot.com/"&gt;ndugu Msangi&lt;/a&gt; kwa kunichochea kiasi hiki :-)&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style: italic;"&gt;*Namshukuru mamangu kwa picha hiyo...nje ya pale ninapopaita nyumbani.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/25253147-114744620214463636?l=mkenyamdadisi.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/feeds/114744620214463636/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=25253147&amp;postID=114744620214463636' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114744620214463636'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114744620214463636'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/2006/05/homa-ya-kuku-na-kufilisika-kwa-bunge.html' title='Homa ya kuku na kufilisika kwa bunge la Afrika'/><author><name>Mkenya Mdadisi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17004304680613672909</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-25253147.post-114736043360347813</id><published>2006-05-11T08:09:00.000-07:00</published><updated>2006-05-11T08:13:54.020-07:00</updated><title type='text'>Wokovu sasa "umerahisishwa"</title><content type='html'>&lt;a href="http://www.needhim.org/"&gt;Bonyeza hapa&lt;/a&gt; kwa habari zaidi.&lt;br /&gt;Pia nimeweka kiunganishi hicho &lt;a href="http://www.kenyananalyst.blogspot.com/"&gt;kwenye blogu yangu ya Kiingereza&lt;/a&gt; (chini ya vyombo vya habari nchini Kenya na ulimwenguni)...ukipate cha kufaa kwako au kwa awaye yote siku zijazo.&lt;br /&gt;Nitakiweka kwenye blogu hii kabla ya siku hii kuisha kwa majaliwa.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/25253147-114736043360347813?l=mkenyamdadisi.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/feeds/114736043360347813/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=25253147&amp;postID=114736043360347813' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114736043360347813'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114736043360347813'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/2006/05/wokovu-sasa-umerahisishwa.html' title='Wokovu sasa &quot;umerahisishwa&quot;'/><author><name>Mkenya Mdadisi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17004304680613672909</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-25253147.post-114734317257559722</id><published>2006-05-11T03:19:00.000-07:00</published><updated>2006-05-11T03:26:12.866-07:00</updated><title type='text'>Sehemu ya tano ya majibu kwa "Kifo cha Ibilisi"</title><content type='html'>&lt;a href="http://kenyananalyst.blogspot.com/2006/05/phase-5-of-responses-to-death-of-satan.html"&gt;Bonyeza hapa&lt;/a&gt; kwa habari hizo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maelezo zaidi:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://kenyananalyst.blogspot.com/2006/05/basic-stott-as-precursor-to-my-piece.html"&gt;Habari za utangulizi wa mjadala huu&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://mkenyamdadisi.blogspot.com/2006/05/kifo-cha-ibilisi-namna-wakenya.html"&gt;Mjadala (katika lugha ya Kiswahili)&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://kenyananalyst.blogspot.com/2006/05/phase-1-of-responses-to-death-of-satan.html"&gt;Sehemu ya kwanza ya majibu&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://kenyananalyst.blogspot.com/2006/05/phase-2-of-responses-to-death-of-satan.html"&gt;Sehemu ya pili ya majibu&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://kenyananalyst.blogspot.com/2006/05/phase-3-of-responses-to-death-of-satan.html"&gt;Sehemu ya tatu ya majibu&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://mkenyamdadisi.blogspot.com/2006/05/sehemu-ya-nne-ya-majibu-kwa-kifo-cha.html"&gt;Sehemu ya nne ya majibu&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/25253147-114734317257559722?l=mkenyamdadisi.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/feeds/114734317257559722/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=25253147&amp;postID=114734317257559722' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114734317257559722'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114734317257559722'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/2006/05/sehemu-ya-tano-ya-majibu-kwa-kifo-cha.html' title='Sehemu ya tano ya majibu kwa &quot;Kifo cha Ibilisi&quot;'/><author><name>Mkenya Mdadisi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17004304680613672909</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-25253147.post-114728418439293300</id><published>2006-05-10T10:51:00.000-07:00</published><updated>2006-05-10T11:03:04.646-07:00</updated><title type='text'>Kanisa jijini Zurich, Uswizi</title><content type='html'>Grace, mkenya anayeishi Uswizi, ameniandikia kusema kuwa &lt;a href="http://www.thepathoflife.org/index.html"&gt;Path of Life&lt;/a&gt; ni kanisa ambalo huenda likamfaa awaye yote atakayekuwa akizuru nchi hiyo.&lt;br /&gt;Tukio hilo limenifanya kuanzisha sehemu tatu maalum za habari kuhusu pale mtu anaweza kuhudhuria ibada za  Jumapili nchini Kenya, bara Ulaya na Marekani.&lt;br /&gt;Nitazirefusha orodha za makanisa hayo kadri nitakavyopata mapendekezo zaidi toka kwenu; nitazingatia kadri kanisa unalopendekeza linavyojimudu kuishia malengo na maono yake ya imani.&lt;br /&gt;Kanisa lolote linaloambatana na &lt;a href="http://www.lausanne.org/Brix?pageID=12891"&gt;maelezo ya imani yangu&lt;/a&gt; litapata nafasi mara moja.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/25253147-114728418439293300?l=mkenyamdadisi.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/feeds/114728418439293300/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=25253147&amp;postID=114728418439293300' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114728418439293300'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114728418439293300'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/2006/05/kanisa-jijini-zurich-uswizi.html' title='Kanisa jijini Zurich, Uswizi'/><author><name>Mkenya Mdadisi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17004304680613672909</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-25253147.post-114724555794004456</id><published>2006-05-10T00:14:00.000-07:00</published><updated>2006-05-10T00:19:17.956-07:00</updated><title type='text'>Muziki na gumzo za Kikalenjin kwenye tovuti</title><content type='html'>Na KIP&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hii ni kuwajulisheni kuwa kuna muziki mpya &lt;a href="http://kass.podomatic.com/"&gt;kwenye tovuti yangu&lt;/a&gt;.&lt;br /&gt;Naomba &lt;a href="http://www.podomatic.com/podcast/tell/kass"&gt;unisaidie kusambaza ujumbe huo&lt;/a&gt;. &lt;br /&gt;Pia &lt;a href="http://kaledialogues.proboards101.com/"&gt;tembelea tovuti yenye mijadala katika lugha ya Kikalenjin&lt;/a&gt;. &lt;br /&gt;Asante.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/25253147-114724555794004456?l=mkenyamdadisi.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/feeds/114724555794004456/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=25253147&amp;postID=114724555794004456' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114724555794004456'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114724555794004456'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/2006/05/muziki-na-gumzo-za-kikalenjin-kwenye.html' title='Muziki na gumzo za Kikalenjin kwenye tovuti'/><author><name>Mkenya Mdadisi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17004304680613672909</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-25253147.post-114716044509950397</id><published>2006-05-09T00:28:00.000-07:00</published><updated>2006-05-09T00:40:45.110-07:00</updated><title type='text'>Sehemu ya nne ya majibu kwa "Kifo cha Ibilisi"</title><content type='html'>&lt;a href="http://kenyananalyst.blogspot.com/2006/05/phase-4-of-responses-to-death-of-satan.html"&gt;Bonyeza hapa&lt;/a&gt; ili upate habari za sehemu hiyo.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maelezo zaidi:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://kenyananalyst.blogspot.com/2006/05/basic-stott-as-precursor-to-my-piece.html"&gt;Habari za utangulizi kwa mjadala huu&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://mkenyamdadisi.blogspot.com/2006/05/kifo-cha-ibilisi-namna-wakenya.html"&gt;Mjadala&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://kenyananalyst.blogspot.com/2006/05/phase-1-of-responses-to-death-of-satan.html"&gt;Sehemu ya kwanza ya majibu&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://kenyananalyst.blogspot.com/2006/05/phase-2-of-responses-to-death-of-satan.html"&gt;Sehemu ya pili ya majibu&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://kenyananalyst.blogspot.com/2006/05/phase-3-of-responses-to-death-of-satan.html"&gt;Sehemu ya tatu ya majibu&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style: italic;"&gt;Nimekamilisha shughuli zangu kama mhariri wa muda.  Asanteni kwa kusoma.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style: italic;"&gt;- Z.M, Mhariri wa muda.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/25253147-114716044509950397?l=mkenyamdadisi.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/feeds/114716044509950397/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=25253147&amp;postID=114716044509950397' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114716044509950397'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114716044509950397'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/2006/05/sehemu-ya-nne-ya-majibu-kwa-kifo-cha.html' title='Sehemu ya nne ya majibu kwa &quot;Kifo cha Ibilisi&quot;'/><author><name>Mkenya Mdadisi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17004304680613672909</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-25253147.post-114710493035096447</id><published>2006-05-08T09:11:00.000-07:00</published><updated>2006-05-08T09:15:31.893-07:00</updated><title type='text'>Makala kumhusu msanii Elvis Presley</title><content type='html'>Kuna makala ya kuchangamsha kumhusu mwanamuziki Elvis Presley ........  &lt;a href="http://kenyananalyst.blogspot.com/2006/05/elvis-struggles-with-god-other-issues.html"&gt;bonyeza hapa kwa habari zaidi. &lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style: italic;"&gt;- Z.M, Mhariri wa muda.  &lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/25253147-114710493035096447?l=mkenyamdadisi.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/feeds/114710493035096447/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=25253147&amp;postID=114710493035096447' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114710493035096447'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114710493035096447'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/2006/05/makala-kumhusu-msanii-elvis-presley.html' title='Makala kumhusu msanii Elvis Presley'/><author><name>Mkenya Mdadisi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17004304680613672909</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-25253147.post-114703538175257361</id><published>2006-05-07T13:48:00.000-07:00</published><updated>2006-05-07T13:56:21.763-07:00</updated><title type='text'>Yule mwanamke mwingine niliyemwita "Mama"</title><content type='html'>&lt;span style="font-style: italic;"&gt;Nimechochewa kuandika makala haya kufuatia &lt;/span&gt;&lt;a style="font-style: italic;" href="http://madkenyanwoman.blogspot.com/2006/04/cancer.html"&gt;habari alizoandika WM kumhusu mamake siku chache zilizopita&lt;/a&gt;&lt;span style="font-style: italic;"&gt;......na pia &lt;/span&gt;&lt;a style="font-style: italic;" href="http://ak-daughterofthelake.blogspot.com/2006/05/dr-jane-nandwa-truest-hero.html"&gt;Bi. AK kumhusu mmoja wa wahadhiri wake chuoni&lt;/a&gt;&lt;span style="font-style: italic;"&gt;.....ni kuhusu mwanamke niliyempoteza kwa ugonjwa wa saratani mwanzo sana katika maisha yangu, lakini pia mtu ambaye kwangu mguso wake umedumu hata sasa.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilikutana na Bi. R wakati wa muhula wangu wa kwanza katika shule ya msingi. &lt;br /&gt;Ingawa alikuwa amezeeka, alikuwa mchangamfu na kuniondolea wasiwasi wangu pindi tu aliponitazama.&lt;br /&gt;"Mwanangu, natumai unatambua kuwa itatubidi tuwe marafiki kwa vile wazee wako wamekuweka chini ya utunzi wangu kwa muda wa miaka mitatu ijayo," aliniambia huku akitabasamu.&lt;br /&gt;Na hapo basi pakaanza uhusiano wa kusisimua kati yetu.&lt;br /&gt;Muroma kigogo huku akifunza katika shule iliyoshinikizwa na Uroma mwingi, hakuwahi kutumia nafasi hiyo kutuelekeza sisi (wanafunzi wake) hadi Roma; Waprotestanti kama mimi tulikuwa na wakati mzuri sana chini yake katika elimu ya dini, somo lilikuwa ni kumhusu Yesu aliyesulubiwa na kufufuka tu la sivyo halikuwa somo hata kidogo. &lt;br /&gt;Huo, nafikiri, ndio ulikuwa mojawapo ya michango yake muhimu zaidi maishani mwangu kwa sababu sikuwahi kupata elimu bora ya dini sawia na hiyo kwa muda wangu wote katika elimu ya msingi.&lt;br /&gt;Ninashukuru kwa sababu hakuruhusu tofauti zetu za kidhehebu kumchafua Yesu ambaye sote tulimwamini kwa imani na ari ya kudumu. &lt;br /&gt;Mchango wake wa pili ulikuwa ni katika lile pendo lake la mama kwangu katika darasa lake kubwa.&lt;br /&gt;Pengine sikuweza kuliona hilo zaidi ya pale nilipougua darasani wakati mmoja na pale vipusa fulani walijaribu kunitatiza wakati wa somo lake la hesabu.&lt;br /&gt;Kwa ule ugonjwa, alifupisha kipindi hicho (kitendo hatari katika enzi hizo za kutoaminiana nchini Kenya) na kutuma mamangu aitwe kilomita 10 toka hapo; kitendo chake kilinigusa kiasi cha kutaka nipone upesi ili nimrejelee (wajua mamangu hangesikiza porojo za aina hiyo toka kwangu). &lt;br /&gt;Kwa wale vipusa, barua ya mapenzi walokuwa wakinirushia ilianguka juu ya dawati lake...dada aliyekuwa ameiandika alitaka kuiaga dunia wakati ule ule.&lt;br /&gt;Bi. R aliifungua barua hiyo na kuisoma kwa ugumu wa lugha alokuwa nao dada huyo, akamtazama na dada wenzake, na kisha kwa upole akasema:  "Wavulana wangu na wasichana wapendwa, hebu tuyashughulikie haya wakati wa kipindi cha mapumziko."&lt;br /&gt;Kipindi hicho kilipofika, Bi. R akatupa sisi (wengi wetu tukiwa wa umri wa miaka tisa hivi) elimu ya uzazi....yule dada hakunisumbua tena.&lt;br /&gt;Siwakumbuki walimu wengine wakifanya alofanya Bi. R kwa muda wote nilopitia shule ya msingi na ya upili; ninachokumbuka badala yake ni maisha mengi yaliyoharibiwa na kupotezwa kuotokana na kupe walowezi wa kimapenzi tulowaita waalimu wetu. &lt;br /&gt;Pengine ni muhimu nitaje kuwa ni chini ya ualimu wake Bi. R ndipo niliwahi kuwa na alama za juu zaidi katika somo la hesabu; hiyo ilikuwa ni kabla ya mimi kukutana na waalimu wengine walonisadikisha kuwa hesabu ni kisirani cha ubongo kwa wanafunzi.&lt;br /&gt;Mchango wake wa tatu maishani mwangu ulikuwa kupitia elimu, - ni kwake nimepata kiu kikubwa cha ufahamu wa mambo, ujuzi wa kutumia ufahamu huo na maadili yanayostahili kuambatana na hayo yote; amenipa mimi na kila mmoja darasani mwake yaliyo bora zaidi toka kwake. &lt;br /&gt;Alitufunza vema kiasi cha sisi kufanya vema katika mitihani pia; mojawapo ya ngano zinazohadithiwa sana huko hata sasa ni kuhusu ushindani mkubwa uliyojitokeza kati ya familia mbalimbali sehemu hiyo kutokana na wanafunzi wa Bi. R (darasa mkondo wa Mashariki) na wale wa Bi. T (darasa mkondo wa Magharibi) kushindana vikali. &lt;br /&gt;Kutokana na bidii yake, mwenzenu niliwahi kujipata katika ushindani huo si mara moja.....baadhi ya rekodi nilizohusika nazo katika baadhi ya masomo alohusika nayo napashwa bado hazijavunjwa.&lt;br /&gt;Licha ya hayo yote, Bi. R aliiaga dunia kutokana na ugonjwa wa saratani ambao wengi wetu hatukujua alikuwa nao hata tulipokuwa tukisherehekea kwingia kwetu kwenye shule ya upili; bila ya shaka ule ugumu wake wa kishujaa ulikuwa umetunyima mpenyo katika maisha yake na uchungu alokuwa amevumilia muda huo wote. &lt;br /&gt;Kwa wengi wetu ambao alikuwa ameishi kama mama mzazi, tulikuwa tumepoteza zaidi ya mwalimu.  Kumbukumbu yake ingali mbichi kwangu na yote alonifunza nayakumbuka hata sasa; nilifunza baadhi ya masomo niliyomshabikia na kufurahi naye katika mojawapo ya shule za msingi baada ya elimu yangu ya shule ya upili kwa heshima tu ya mwalimu wa muda ambaye Bi. R alikuwa amejenga ndani yangu. &lt;br /&gt;Ninapotafakari kitambo hiki, nadhani mwanafunzi aliyekuwa ndani yangu alimshabikia Bi. R sana kiasi cha kusahau kumpa chochote kwa shukrani, hata pendo tu, - pendo ambalo pengine alistahili zaidi muda huo wote alipokuwa akitufunza.&lt;br /&gt;Lakini kwa vile wanafunzi wake siku hizi ndio wanaoitetemesha nchi yetu na bara la Afrika, nachelea kusema Bi. R hajapata shukrani alostahili muda ambao umezidi bidii yake kubwa iliyolipwa na pato dogo toka kwa serikali (hali ambayo walimu wengine wengi yabidi wavumilie hata wa leo).&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style: italic;"&gt;*Makala haya yalikuwa tayari lakini yalicheleweshwa kidogo kwa ajili ya &lt;a href="http://mkenyamdadisi.blogspot.com/2006/05/sehemu-ya-tatu-ya-majibu-kwa-kifo-cha.html"&gt;mjadala ambao ulikuwa ukiendelea kuhusu Wakristo na maswala ya kitaifa nchini Kenya&lt;/a&gt;. Mjadala huo utaendelea Jumatano hivi baada ya makala mengine kumhusu mwanamuziki Elvis Presley.  &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style: italic;"&gt;- Z.M, Mhariri wa muda (Guest Editor).  &lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/25253147-114703538175257361?l=mkenyamdadisi.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/feeds/114703538175257361/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=25253147&amp;postID=114703538175257361' title='32 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114703538175257361'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114703538175257361'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/2006/05/yule-mwanamke-mwingine-niliyemwita.html' title='Yule mwanamke mwingine niliyemwita &quot;Mama&quot;'/><author><name>Mkenya Mdadisi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17004304680613672909</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>32</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-25253147.post-114683669534403868</id><published>2006-05-05T06:33:00.000-07:00</published><updated>2006-05-05T06:44:55.400-07:00</updated><title type='text'>Sehemu ya tatu ya majibu kwa "Kifo cha Ibilisi"</title><content type='html'>Sehemu ya tatu ya majibu kwa mjadala kuhusu &lt;a href="http://mkenyamdadisi.blogspot.com/2006/05/kifo-cha-ibilisi-namna-wakenya.html"&gt;makala tulochapisha hapa siku chache zilizopita&lt;/a&gt; yaweza kupatikana sasa (&lt;a href="http://kenyananalyst.blogspot.com/2006/05/phase-3-of-responses-to-death-of-satan.html#links"&gt;bonyeza hapa&lt;/a&gt;). &lt;br /&gt;Sehemu za &lt;a href="http://kenyananalyst.blogspot.com/2006/05/phase-1-of-responses-to-death-of-satan.html"&gt;kwanza&lt;/a&gt; na &lt;a href="http://kenyananalyst.blogspot.com/2006/05/phase-2-of-responses-to-death-of-satan.html"&gt;pili&lt;/a&gt; zilikuwa zimekwisha chapishwa kitambo kidogo.&lt;br /&gt;Sehemu ya tatu hiyo imeandikwa na &lt;a href="http://omerkidha.blogspot.com/"&gt;Kenyan Idiot&lt;/a&gt;, mwanablogu anayeandika kuhusu &lt;a href="http://omerkidha.blogspot.com/"&gt;maswala ya dini&lt;/a&gt; akiwa jijini Kampala. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style: italic;"&gt;- Z.M, Mhariri wa muda (Guest Editor).   &lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/25253147-114683669534403868?l=mkenyamdadisi.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/feeds/114683669534403868/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=25253147&amp;postID=114683669534403868' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114683669534403868'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114683669534403868'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/2006/05/sehemu-ya-tatu-ya-majibu-kwa-kifo-cha.html' title='Sehemu ya tatu ya majibu kwa &quot;Kifo cha Ibilisi&quot;'/><author><name>Mkenya Mdadisi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17004304680613672909</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-25253147.post-114677630905913208</id><published>2006-05-04T13:49:00.000-07:00</published><updated>2006-05-04T13:58:29.073-07:00</updated><title type='text'>Sehemu ya pili ya majibu kwa "Kifo cha Ibilisi"</title><content type='html'>Bonyeza &lt;a href="http://kenyananalyst.blogspot.com/2006/05/phase-2-of-responses-to-death-of-satan.html"&gt;hapa ili upate sehemu ya pili ya majibu&lt;/a&gt; kwa &lt;a href="http://mkenyamdadisi.blogspot.com/2006/05/kifo-cha-ibilisi-namna-wakenya.html"&gt;makala aloandika Yesse hapa siku ya Jumatano&lt;/a&gt;.  &lt;a href="http://kenyananalyst.blogspot.com/2006/05/phase-1-of-responses-to-death-of-satan.html"&gt;Sehemu ya kwanza ya majibu hayo&lt;/a&gt; ilichapishwa siku hiyo pia. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;- Z.M, Mhariri wa muda (Guest Editor).&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/25253147-114677630905913208?l=mkenyamdadisi.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/feeds/114677630905913208/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=25253147&amp;postID=114677630905913208' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114677630905913208'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114677630905913208'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/2006/05/sehemu-ya-pili-ya-majibu-kwa-kifo-cha.html' title='Sehemu ya pili ya majibu kwa &quot;Kifo cha Ibilisi&quot;'/><author><name>Mkenya Mdadisi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17004304680613672909</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-25253147.post-114672801009260505</id><published>2006-05-04T00:22:00.000-07:00</published><updated>2006-05-04T00:33:30.103-07:00</updated><title type='text'>Sehemu ya kwanza ya majibu kwa "Kifo cha Ibilisi"</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://photos1.blogger.com/blogger/4013/1833/1600/bushpress.1.jpg"&gt;&lt;img style="margin: 0pt 10px 10px 0pt; float: left; cursor: pointer;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/4013/1833/200/bushpress.jpg" alt="" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://kenyananalyst.blogspot.com/2006/05/phase-1-of-responses-to-death-of-satan.html"&gt;Huu hapa mukhtasari wa maoni ambayo yamepokelewa kwa sasa&lt;/a&gt; na ambayo yalifaa kuchapishwa kivyake kufuatia  &lt;a href="http://kenyananalyst.blogspot.com/2006/05/phase-1-of-responses-to-death-of-satan.html"&gt;makala aloandika Yesse masaa machache yaliyopita&lt;/a&gt; ambayo &lt;a href="http://mkenyamdadisi.blogspot.com/2006/05/kifo-cha-ibilisi-namna-wakenya.html"&gt;tafsiri yake tuko nayo&lt;/a&gt; kwenye blogu hii ya Kiswahili.  Maoni mengine pia yatachapishwa kadri yatakavyokuwa yakipokelewa na kufikiriwa kwa minajili ya kuchapishwa.&lt;br /&gt;- Z.M, Mhariri Mgeni (Guest Editor....natumai tafsiri ndiyo hiyo...wajua tena)&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/25253147-114672801009260505?l=mkenyamdadisi.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/feeds/114672801009260505/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=25253147&amp;postID=114672801009260505' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114672801009260505'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114672801009260505'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/2006/05/sehemu-ya-kwanza-ya-majibu-kwa-kifo.html' title='Sehemu ya kwanza ya majibu kwa &quot;Kifo cha Ibilisi&quot;'/><author><name>Mkenya Mdadisi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17004304680613672909</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-25253147.post-114669585974330777</id><published>2006-05-03T15:31:00.000-07:00</published><updated>2006-05-03T16:00:22.230-07:00</updated><title type='text'>Kifo cha Ibilisi:  Namna Wakenya wamepoteza vigezo vyao vya wema na uovu (na kwanini imewapasa kuvipata tena kabla ya 2007)</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://photos1.blogger.com/blogger/2592/2635/1600/sweet-u%20155.0.jpg"&gt;&lt;img style="margin: 0pt 10px 10px 0pt; float: left; cursor: pointer;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/2592/2635/200/sweet-u%20155.jpg" alt="" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style: italic;"&gt;Hebu kwanza nielezee yaliyomo yanayonishinikiza kuyaandika makala haya &lt;a href="http://kenyananalyst.blogspot.com/2006/05/basic-stott-as-precursor-to-my-piece.html"&gt;kama nilivyokuwa nimeahidi hapo awali:&lt;/a&gt; Mimi ni mlokole, mwana wa kasisi wa kievanjeli, mwandishi wa habari mwenye tajriba ndani na nje ya Kenya, na mwenye uchu mkubwa kuhusu imani yangu na maswala yawayo yote kwenye sayari hii.  Pia ninaelewa kwa kiasi fulani namna Ukristo ulivyo Kenya, bara Afrika na duniani kutokana na kusoma, kusafiri na kushirikiana na waumini wenzangu.  Makala haya yametokana na fikra zangu kuhusu swala hili na pia mchango wa mawazo niliyopata toka kwa wandani wangu Wakristo ambao nimekuwa nikizungumza nao kuyahusu.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa hivyo naandika habari hizi kwa ile shauku alo nayo mtathmini asiyehusika sawia na ari alo nayo mwenyeji kuokoa hali ambayo kwa hakika iko wazi mbele zetu.&lt;br /&gt;Wakati nilipokuwa nikiandika makala haya, nilikuwa nimefahamu vema kuwa Wakristo, kwa idadi kubwa, wananuia kugombea viti vya ubunge katika kura za mwaka kesho.&lt;br /&gt;Baadhi ya wagombezi hao ni wajumbe katika bunge la sasa ilhali wengine watakuwa wakifanya hivyo kwa mara ya kwanza; idadi fulani ya wapya hao ni raia nilosoma nao chuoni au kushirikiana nao katika mambo ya imani na taaluma ya uandishi habari.&lt;br /&gt;Kati ya wapya hao kuna wagombezi ambao naweza kupigia kura pahala popote na wakati wowote, lakini pia kati ya wao hao kuna wengine ambao wenzetu akina Atur wangestahili zaidi yao :-); iwe au isiwe demokrasia.&lt;br /&gt;Pamoja na tukio hilo pia kuna dhana iliyojikita katika baadhi ya mabaraza - na ambayo ilithibitishwa kuwa finyu katika maeneo fulani na kura za urais mwaka wa 2002 - eti kuna wajumbe ambao yafaa Wakenya wawapigie kura bila ya tashwishwi yoyote mwaka wa 2007.&lt;br /&gt;Tukio hilo ni sehemu tu ya fikra katika baadhi ya mabaraza ya Kikristo na shinikizo ambazo zinanuia kutoa msukumo kwa baadhi ya hao wagombezi Wakristo katika kura za ubunge na urais.&lt;br /&gt;Mwenzenu sina shida Wakristo, Waislamu, Wahindu na awaye yote kugombea kiti chochote katika kura hizo - ni haki yake kisheria kufanya hivyo - ila ninachopinga ni ule mwinuko wa wajumbe, wanaoingia vema kwenye kile kikundi nilicho onya kuhusu, ambao watakuwa dhiki kubwa kwa taifa letu.&lt;br /&gt;Wajumbe hao hawana chochote, isipokuwa imani yao, kulipa taifa hili; wao wako zizini na wajumbe na marais wetu walotutangulia ambao maadili ya kazi yao yaweza kuitwa kiwacho chote kile ila adilifu.&lt;br /&gt;Wajumbe hao hawajaishtakia hali ya mambo yalivyo kwa namna ya maisha ya kutumika na fikra; hautapata chochote kwa namna ya falsafa ya kisiasa inayofahamika au kumbukumbu za kuandikwa kuelezea mchango wao katika kutoa uongozi kwa mashirika au vikundi walivyohusika navyo.&lt;br /&gt;&lt;div&gt; &lt;div&gt; &lt;div&gt; &lt;div&gt; &lt;div&gt; &lt;div&gt; &lt;div&gt; &lt;div&gt; &lt;div&gt; &lt;div&gt; &lt;div&gt; &lt;div&gt;Wajumbe hawa wanazungumza vema kuhusu mabadiliko ya jamii walakin hawajawahi kuiruhusu imani yao - alivyosema Kristo katika ile injili yake mlimani (Matayo 5:1-12) - kuugusa ulimwengu namna wanavyouelewa kwa namna yoyote ile inayofahamika; imani yao imetiliwa kafuli ya salama kisiri, haijawasukuma nje ya starehe zao kiasi cha wao kuweza kuusumbua mpangilio uliyopo wa mambo unaowagandamiza wanyonge na wasiyojiweza chini ya wenye vyeo na uwezo.&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;Wajumbe hao wanagonjeka kutokana na homa kali (ya kujitakia) ya maantiki finyu inayowaruhusu kuishi maisha tofauti na imani yao, huku wakitembea hapa na pale wakikampeini na ujumbe kuwa wokovu wao utawasaidia kuliokoa taifa letu.&lt;br /&gt;Wajumbe wao wanawashabikia hayati Mzee Jomo Kenyatta, Daniel Arap Moi na Rais Mwai Kibaki na jeshi lao kuu la wafuasi wa "Kikristo" - katika serikali na upinzani -; waume na wake ambao maisha yao ya kibinafsi na kulitumikia taifa letu ni vioja na viroja visivyostahili kuzungumziwa.&lt;br /&gt;Wajumbe hao watafurahi kutumia vyombo vya serikali kueneza Ukristo huku wakivitumia vyombo hivyo kuwagandamiza wale ambao kwa hesabu zao, hawana mchango wowote kwa "umoja wa taifa, amani na maendeleo."&lt;br /&gt;Kama inavyoripotiwa baadhi ya makasisi kutoka Zambia walivyofanya alipoinuka Mkristo Frederick Chiluba, wajumbe hawa huenda - kama kuwa ndiyo falsafa na maono yao kwetu - wakaulizia ardhi zaidi kwa ujenzi wa makanisa, uhuru zaidi wa mikutano ya injili na, ajue nani hili, tangazo rasmi kuwa Kenya ni taifa la Kikristo; hayo yote huku Kenya ikiingia kwenye kaburi la uchafu chini ya awaye yote yule watakayekuwa wmetusaidia kutia mafuta.&lt;br /&gt;Kama ambavyo amesema bwana mmoja: "Jamaa aliye na uwezo mkubwa ulimwenguni leo (Rais George Bush) anadai kuwa mlokole wa kievanjeli. Je, sera zake nyumbani na ugenini zina ashiria chochote cha Kikristo?  Ni wapi tulipata ile dhana eti taifa letu litakuwa na haki zaidi au huruma kwa wasiyojiweza iwapo tutaongeza idadi ya Wakristo katika nyadhifa za uongozi?  Tuna miaka 2,000 ya historia kupinga dhana hiyo."&lt;br /&gt;Kwa hilo ongezea haya pia toka kwake:  "Iwapo mna watu wanaodhani eti injili ni ulokole tu na kisha kwenda mbinguni baada ya kufa, basi omba watu hao wasipate nyadhifa za uongozi nchini mwetu.  Tuombe kuwa tutakuwa na Wakristo ambao watakuwa wamechukua muda kujenga falsafa ya kisiasa iliyo ya Kikristo na pia mtazamo sawia wa ulimwengu.  Na kwa hilo utahitaji zaidi ya Biblia....au kunukuu Warumi 13 na waraka wa kwanza wa Petro 2 kana kwamba vifungu hivyo ni tosha.  Kuna zaidi ya miaka 2,000 ya mawazo mazito ya Kikristo kuhusu siasa, ukianza na Mtume Agostino toka Kaskazini mwa Afrika....miaka 2,000 ya ukwasi mkubwa wa dhana za Kikristo kuhusu siasa, mijadala ambayo imefanywa mara nyingi na watu wasiyo wa kievanjeli (na - mimi naongezea hapa - wasokuwa Wakristo hata kamwe)."&lt;br /&gt;Hawa mabwana na mabibi hatari walojirembesha vyema na kujipendekeza kama malaika wa nuru wasitendekezwe namna hali imekuwa katika kura zilizopita kitambo nchini.&lt;br /&gt;Yafaa mpiga kura wa Kenya avihaifishe vigezo vyake vya wema na uovu na kuwanyima kura wanaoita "Yesu, Yesu" katika kampeni zao na mikutano yao ya siri bila ya wao kuwa na penzi la kweli, linalofahamika kumwelekea huyu Bwana ambaye kwake historia zote zinazojulikana na zisizojulikana zitaishia.&lt;br /&gt;Huyu ni Bwana ambaye, kama wanavyodai eti wanamwamini, angalikuwa ndiyo msingi wa namna wangeishi ili kuyafanya maisha yao kuwa jawabu kwa mwito ambao ameweka maishani mwao katika kizazi hiki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style: italic;"&gt;*Nitaona iwapo mimi au awaye yote yule ataweza kuandika makala endelezi kwa haya.  Iwapo ungependa kufanya hivyo, niandikie kupitia anwani iliyo kwenye blogu yangu hii.  Kwa sasa nina upungufu wa muda kiasi cha kutoandika chochote cha kuliwa kwa hamu hapa.  Kumbuka kuwa chapisho hili limekuwa &lt;a href="http://kenyananalyst.blogspot.com/2006/05/death-of-satan-how-kenyans-have-lost.html"&gt;tafsiri ya makala sawa na haya ambayo nimechapisha kwenye blogu yangu ya Kiingereza&lt;/a&gt;.   &lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/25253147-114669585974330777?l=mkenyamdadisi.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/feeds/114669585974330777/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=25253147&amp;postID=114669585974330777' title='10 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114669585974330777'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114669585974330777'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/2006/05/kifo-cha-ibilisi-namna-wakenya.html' title='Kifo cha Ibilisi:  Namna Wakenya wamepoteza vigezo vyao vya wema na uovu (na kwanini imewapasa kuvipata tena kabla ya 2007)'/><author><name>Mkenya Mdadisi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17004304680613672909</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>10</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-25253147.post-114551888364338868</id><published>2006-04-20T00:29:00.000-07:00</published><updated>2006-04-20T00:43:06.510-07:00</updated><title type='text'>Ndugu Watanzania, ni kweli haya au masihara tu?</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://photos1.blogger.com/blogger/4013/1833/1600/nyerere.jpg"&gt;&lt;img style="margin: 0pt 10px 10px 0pt; float: left; cursor: pointer;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/4013/1833/400/nyerere.jpg" alt="" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Ndugu zangu Watanzania, historia yenu kama taifa ni mojawapo ya chache ninazoheshimu barani mwetu humu na zaidi pia katika eneo la Afrika ya Mashariki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Historia ya mwanzilishi wa taifa lenu, hayati Mwalimu Julius Nyerere pia ipo pale juu katika orodha ya zile ninazoheshimu barani, - haswa zile zinazowahusu watu binafsi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimefuatilia kwa karibu namna mumehishimu mchango wa Mwalimu kwa maisha ya taifa lenu kitambo kirefu na nimependezwa pia na heshima mliyompa maishani na hata mautini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ila &lt;a href="http://www.eastandard.net/archives/cl/hm_news/news.php?articleid=1143950687"&gt;ripoti hii niliyoisoma katika mojawapo ya magazeti maarufu nchini Kenya&lt;/a&gt; imenitia tumbo joto kidogo; hivi sielewi iwapo mnamuenzi Mwalimu kupita kiasi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sijui - pengine nakosea - ila maoni yangu ni kuwa mlikuwa mumemuenzi vya kutosha hata kabla ya &lt;a href="http://www.eastandard.net/archives/cl/hm_news/news.php?articleid=1143950687"&gt;mradi huu mpya kumhusu&lt;/a&gt;.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na siyo eti nawatilia kijicho kwa mema alowatendea au msingi alowawekea kama taifa ikilinganishwa na waasisi wengine wa mataifa ya Afrika; ni kwa ajili ya hofu na mashaka tu alo nayo Mkristo na Mwafrika kama mimi.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/25253147-114551888364338868?l=mkenyamdadisi.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/feeds/114551888364338868/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=25253147&amp;postID=114551888364338868' title='18 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114551888364338868'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114551888364338868'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/2006/04/ndugu-watanzania-ni-kweli-haya-au.html' title='Ndugu Watanzania, ni kweli haya au masihara tu?'/><author><name>Mkenya Mdadisi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17004304680613672909</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>18</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-25253147.post-114486714263687920</id><published>2006-04-12T11:38:00.000-07:00</published><updated>2006-04-12T11:39:02.646-07:00</updated><title type='text'>Ahsante kwa kunipenda kiasi hiki, milele!</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://photos1.blogger.com/blogger/4013/1833/1600/Yesuwangu4.jpg"&gt;&lt;img style="margin: 0px auto 10px; display: block; text-align: center; cursor: pointer;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/4013/1833/400/Yesuwangu4.jpg" alt="" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://photos1.blogger.com/blogger/4013/1833/1600/Yesuwangu3.jpg"&gt;&lt;img style="margin: 0px auto 10px; display: block; text-align: center; cursor: pointer;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/4013/1833/400/Yesuwangu3.jpg" alt="" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://photos1.blogger.com/blogger/4013/1833/1600/Yesuwangu2.jpg"&gt;&lt;img style="margin: 0px auto 10px; display: block; text-align: center; cursor: pointer;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/4013/1833/400/Yesuwangu2.jpg" alt="" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://photos1.blogger.com/blogger/4013/1833/1600/Yesuwangu.0.jpg"&gt;&lt;img style="margin: 0px auto 10px; display: block; text-align: center; cursor: pointer;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/4013/1833/400/Yesuwangu.jpg" alt="" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/25253147-114486714263687920?l=mkenyamdadisi.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/feeds/114486714263687920/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=25253147&amp;postID=114486714263687920' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114486714263687920'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114486714263687920'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/2006/04/ahsante-kwa-kunipenda-kiasi-hiki.html' title='Ahsante kwa kunipenda kiasi hiki, milele!'/><author><name>Mkenya Mdadisi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17004304680613672909</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-25253147.post-114469175321571884</id><published>2006-04-10T10:53:00.000-07:00</published><updated>2006-04-10T10:55:54.076-07:00</updated><title type='text'>Naomboleza Kenya...</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://photos1.blogger.com/blogger/4013/1833/1600/pichazangu%20124.jpg"&gt;&lt;img style="margin: 0pt 10px 10px 0pt; float: left; cursor: pointer;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/4013/1833/320/pichazangu%20124.jpg" alt="" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;NIWIENI RADHI...NIMEKOSA MUDA WA KUTAFSIRI TAARIFA HII TOKA KWENYE BLOGU YANGU YA KIINGEREZA....&lt;br /&gt;I returned from Northern Kenya by road late last night on what had been a difficult trip as part of a response to the &lt;a href="http://kenyananalyst.blogspot.com/2006/03/cry-my-beloved-country-more-are-still.html"&gt;famine situation in that part of the country&lt;/a&gt;&lt;a href="http://kenyananalyst.blogspot.com/2006/03/cry-my-beloved-country-more-are-still.html"&gt;,&lt;/a&gt; only to get the sad news a few hours later that several government officials and politicians had died in a plane crash near Marsabit.&lt;br /&gt;My journey to and from the region was made difficult by heavy rains that have made movement nearly impossible.&lt;br /&gt;I'm mourning, but also angry....&lt;br /&gt;I have been wondering why:&lt;br /&gt;1. The rainy affair (assuming it's the only valid reason) had not informed flying decisions surrounding the trip, coming so soon after the Dr. John Garang plane crash that reportedly occured because of the same reason. I honestly want to hope no one, particularly the militias that have reportedly been roaming in the region lately, have had anything to do with the crash. It always pained me whenever they ran roughshod over the local populace and got away with it with minimal or no response from our disciplined forces. If they had a hand in this, they should be &lt;span style="font-style: italic;"&gt;tafutwad&lt;/span&gt; and made to pay for it. If they didn't, it is still high time they ceased destabilizing the region, whatever their local connections. Look at the pain the insecurity has just caused us!&lt;br /&gt;2. The Office of Public Communications, State House and the mainstream Kenyan mainstream media took ages to break the news. Both the &lt;span style="font-style: italic;"&gt;Nation&lt;/span&gt; and the &lt;span style="font-style: italic;"&gt;Standard&lt;/span&gt; began confirming the obvious long after ordinary wananchi had been calling and &lt;span style="font-style: italic;"&gt;smsing&lt;/span&gt; each other, sometimes with false details (there was a terrible one with a list of unpopular government ministers as the victims). I noted that while the BBC radio and online editions beat everyone of the MSM boys to it, the information flow locally was torturously slow for many. The added speculations and counter-speculations were completely unnecessary in the process. As a country, we still need to grow in the area of crisis management and communication.&lt;br /&gt;Just some quick thoughts on the crash itself:&lt;br /&gt;1. In one fell swoop, it has taken away nearly all the protagonists and antagonists in the insecurity question that has plagued parts of the region for quite a while now. What does this mean for the people of the area? What lessons can they pick from this terrible disaster?&lt;br /&gt;2. It has plucked crucial members of the government of the day, particularly operatives that were helping run the Government of National Unity (GNU) with a steely determination amidst raging political storms. I never, for instance, agreed with Hon. Mirugi Kariuki's post-Moi politics, but I admired his contribution to our country's human rights' movement in years gone by. He will be missed in his determined defense of the government of the day, despite accusations that it was running against much that he had believed in before it came to power.&lt;br /&gt;3. It reminds us that we never seem to learn - Why should our leaders fly together when it was mentioned by the Muthoga team after the Busia plane crash in 2003 that it could be a destabilizing factor to the nation? I personally hope that some of our leaders who are in the habit of flying around are reflecting deeply on this; in this age of man-made and natural disasters, we can never be so careful about such incidents. I especially do not want President Kibaki or any of his current opponents ever having to die that way; it's no disaster I would wish on any country, least of all my own Kenya.&lt;br /&gt;Now....an ode to both Dr. Bonaya Godana and Bishop William Waqo, both of whom perished in the crash.&lt;br /&gt;- Godana: I never interacted with you personally, but you were one of the few politicians I respected in this country. A young man whose guardian / foster-parent you were happened to become one of my best buddies at the university; he's mourning and I'm mourning with him for you were a man truly worth his tears. You were truly a leader. May North Horr truly be consoled at this hour.&lt;br /&gt;- Waqo: I never met you in person too, but your helpfulness to me on phone as the ACK Provincial Secretary in the stories I was chasing at the height of the gay marriage debates within the worldwide Anglican Communion - while working with one of the mainstream Kenyan newspapers - was just what I needed at the time. I wrote Archbishop Benjamin Nzimbi about a year ago to thank you for it. I hope to God you got my little note of thanks. I'm also aware that the Christian community in Northern Kenya is what it is today partly because of your input there in recent years. Blessings in Heaven, Christian soldier, you now form part of the Cloud of Witnesses (Hebrews 12:1-2) that is cheering the rest of us on at this challenging moment in our collective national and world history!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/25253147-114469175321571884?l=mkenyamdadisi.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/feeds/114469175321571884/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=25253147&amp;postID=114469175321571884' title='5 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114469175321571884'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114469175321571884'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/2006/04/naomboleza-kenya.html' title='Naomboleza Kenya...'/><author><name>Mkenya Mdadisi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17004304680613672909</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>5</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-25253147.post-114427459689989329</id><published>2006-04-05T14:55:00.000-07:00</published><updated>2006-04-10T00:16:24.913-07:00</updated><title type='text'>Wimbo wa jumuiya ya Afrika Mashariki:  Kasida ilioje!</title><content type='html'>Ni akina nani walokuwa waamuzi katika shindano la kuutafuta wimbo huo?&lt;br /&gt;Aah, ni kama kasida; maneno matamu lakini ni kama twaomboleza.&lt;br /&gt;Pengine ndivyo hali ilivyo haswa, ikizingatiwa kuwa ni wachache wetu walo ulizwa maoni yao kuhusu mwenendo wa jumuiya hii kama raia wa kawaida.&lt;br /&gt;Eti soko huria la watu zaidi ya milioni 80 lingetoa wimbo usioweza kumtoa nyoka pangoni?&lt;br /&gt;Jinsi nionavyo mimi, wimbo wa taifa wa Jamhuri ya Tanzania ama kwa kweli ule wa Azania ungetufaa zaidi.&lt;br /&gt;Midundo ya nyimbo mbili hizo ni sawa na ujumbe kabambe.&lt;br /&gt;Ulopewa nafasi huu una kila sura ya Ukenya - na mimi ni Mkenya :-) - wajua tena.&lt;br /&gt;Na kidogo kuna sehemu ya Ukenya ambayo hainipendezi hata!&lt;br /&gt;Mengi zaidi kuhusu hilo siku nyingine.&lt;br /&gt;Lakini kwa sasa, naomboleza kifo cha ndoto nzuri katika wimbo wa umoja wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki.&lt;br /&gt;*Ahsanteni kwa barua na maoni yenu tangu nilipoanza kublogu kwa lugha hii.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/25253147-114427459689989329?l=mkenyamdadisi.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/feeds/114427459689989329/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=25253147&amp;postID=114427459689989329' title='6 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114427459689989329'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114427459689989329'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/2006/04/wimbo-wa-jumuiya-ya-afrika-mashariki.html' title='Wimbo wa jumuiya ya Afrika Mashariki:  Kasida ilioje!'/><author><name>Mkenya Mdadisi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17004304680613672909</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>6</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-25253147.post-114401081611675391</id><published>2006-04-02T13:34:00.000-07:00</published><updated>2006-04-02T13:46:56.123-07:00</updated><title type='text'>Karibuni mabibi na mabwana!</title><content type='html'>Wasomaji wapendwa -&lt;br /&gt;Nimetiwa moyo kuanza kublogu katika Kiswahili na kumbukumbu niliyo nayo kwa heshima ya waalimu wangu wa Kiswahili nilokuwa nao tangu darasa la kwanza hadi shule ya upili. &lt;br /&gt;Hivi namshukuru marehemu Bi. Rose Okello, Bi. Akoto, Bw. Obed, Bw. Misiko na Bi. Maloba.&lt;br /&gt;Kidogo nilikaribia kuupoteza ubingwa walonipa hao mabibi na mabwana nilipoelekea chuo kikuu nchini Kenya na Marekani, walakin kazi yangu ya uandishi habari ilizidi kunikumbusha kitambo kile kitamu:-)&lt;br /&gt;Pia nawashukuru marafiki zangu toka Kenya na Tanzania ambao, kwa bidii yao katika kutunza usanifu wa lugha hii tukufu, wamenitia moyo kuzingatia mwendo huu.&lt;br /&gt;Mwisho, nawashukuru wazee wangu ambao - tofauti kabisa na Wakenya wengi - wazingatia umuhimu wa kuzungumza na kuandika Kiswahili sanifu.&lt;br /&gt;Blogu hii itawapeni habari zote nitakazochapisha kwenye ile blogu yangu ya Kiingereza, yaani &lt;a href="http://kenyananalyst.blogspot.com"&gt;Kenyananalyst.&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Ni matumaini yangu kuwa sitowanyimeni ukweli na utamu mnaostahili kwa kuwa wasomaji wangu waaminifu katika lugha hii "mpya" namna mlivyokuwa upande wa pili.&lt;br /&gt;Karibuni tena na Mungu awabariki!&lt;br /&gt;Mwenzenu,&lt;br /&gt;Yesse.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/25253147-114401081611675391?l=mkenyamdadisi.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/feeds/114401081611675391/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=25253147&amp;postID=114401081611675391' title='9 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114401081611675391'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/25253147/posts/default/114401081611675391'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mkenyamdadisi.blogspot.com/2006/04/karibuni-mabibi-na-mabwana.html' title='Karibuni mabibi na mabwana!'/><author><name>Mkenya Mdadisi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17004304680613672909</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>9</thr:total></entry></feed>
